Mshambuliaji wa Atletico Madrid, Antoine Griezmann akisikitika baada ya kupoteza nafasi ya kufunga usiku wa jana Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan wakifungwa 3-1 na wenyeji Sevilla katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Kombe la Mfalme na kutolewa kwa jumla ya mabao 5-2 kufuatia kufungwa pia 2-1 kwenye mchezo wa kwanza nyumbani kwao. Mabao ya Sevilla yalifungwa na Sergio Escudero dakika ya kwanza, Ever Banega dakika ya 48 na Pablo Sarabia dakika ya 79, wakati la Atletico lilifungwa na Griezmann dakika ya 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alonso in 'hard mental place', says Newey
-
Aston Martin's dire start to the season has left Fernando Alonso in a "hard
mental place", says team principal Adrian Newey.
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment