Mshambuliaji wa Atletico Madrid, Antoine Griezmann akisikitika baada ya kupoteza nafasi ya kufunga usiku wa jana Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan wakifungwa 3-1 na wenyeji Sevilla katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Kombe la Mfalme na kutolewa kwa jumla ya mabao 5-2 kufuatia kufungwa pia 2-1 kwenye mchezo wa kwanza nyumbani kwao. Mabao ya Sevilla yalifungwa na Sergio Escudero dakika ya kwanza, Ever Banega dakika ya 48 na Pablo Sarabia dakika ya 79, wakati la Atletico lilifungwa na Griezmann dakika ya 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The FUFA Drum Final 2023: Tickets out, Fans to purchase using MoMo Pay
-
MTN Uganda—a sponsor of the FUFA Drum have confirmed that the match tickets
for the FUFA Drum Final between Busoga and Lango on Saturday 23rd March
2024 ...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment