• HABARI MPYA

    Friday, January 26, 2018

    "KWAHERINI WAPENDWA NAKWENDA KUMALIZIA CHINA, NITAWAKUMBUKA SANA"

    Javier Mascherano akipunga mkono kuwaaga mashabiki Uwanja wa Camp Nou usiku wa jana wakati wa mchezo wa Kombe la Mfalme Barcelona ikishinda 2-0 dhidi ya Espanyol. Baada ya kuitumikia Barca kwa miaka karibu nane, Muargentina huyo, Mascherano anahamia Hebei China Fortune kwenda kumalizia soka yake PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: "KWAHERINI WAPENDWA NAKWENDA KUMALIZIA CHINA, NITAWAKUMBUKA SANA" Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top