Javier Mascherano akipunga mkono kuwaaga mashabiki Uwanja wa Camp Nou usiku wa jana wakati wa mchezo wa Kombe la Mfalme Barcelona ikishinda 2-0 dhidi ya Espanyol. Baada ya kuitumikia Barca kwa miaka karibu nane, Muargentina huyo, Mascherano anahamia Hebei China Fortune kwenda kumalizia soka yake PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment