Mshambuliaji Mbelgiji wa Chelsea, Michy Batshuayi akinyoosha vidole juu kushangilia baada ya kuifungia The Blues mabao mawili dakika za 31 na 44 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Marcos Alonso dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Fans Troll Warriors for Fall Behind Lakers in Playoff Standings with
Knicks Loss
-
NBA fans on X had fun at the Golden State Warriors' expense Monday night,
as a 119-112 home loss to the New York Knicks dropped them back down to the
No. 10…
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment