Mshambuliaji Mbelgiji wa Chelsea, Michy Batshuayi akinyoosha vidole juu kushangilia baada ya kuifungia The Blues mabao mawili dakika za 31 na 44 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Marcos Alonso dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie O'Hara WALKS OFF his radio show set as Tottenham fans are
relentlessly mocked while plunging towards Premier League relegation with a
string of memes and jokes
-
Tottenham have been ruthlessly and gleefully mocked online, with talkSPORT
presenter and ex-Spurs man Jamie O'Hara savagely feeling the heat.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment