Lionel Messi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 84 ikiwalaza Deportivo Alaves 2-1 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Alaves ilitangulia kwa bao la John Guidetti dakika ya 23, kabla ya Luis Suarez kuisawazishia Barca dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment