Lionel Messi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 84 ikiwalaza Deportivo Alaves 2-1 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Alaves ilitangulia kwa bao la John Guidetti dakika ya 23, kabla ya Luis Suarez kuisawazishia Barca dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Agyemang-Badu urges massive support for Dreams FC in CAF Confederation Cup
semifinal
-
Former Ghana midfielder Emmanuel Agyemang-Badu has urged for massive
support for Dreams FC ahead of their second-leg clash against Zamalek in
the CAF Confe...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment