• HABARI MPYA

    Friday, January 26, 2018

    SAFARI YA MWISHO YA JUMANNE NTAMBI ALIYEKUWA KOCHA WA MWADUI

    Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Jumanne Ntambi, aliyekuwa kocha Msaidizi wa Mwadui FC ya Singida likifikishwa makaburini mjini Moshi leo tayari kwa mazishi yake. Ntambi alifariki Jumanne Mwadui kufuatia kuanguka bafuni wakati anaoga ingawa alikuwa akisumbuliwa na shinikizo la damu.    
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SAFARI YA MWISHO YA JUMANNE NTAMBI ALIYEKUWA KOCHA WA MWADUI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top