• HABARI MPYA

    Tuesday, January 23, 2018

    MAZISHI YA ISMAIL SUMA YALIVYOKUWA NCHINI BURUNDI LEO

    Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Ismail Suma (picha ndogo juu kulia), kipa wa zamani wa kimataifa wa Tanzania aliyedakia klabu mbalimbali zikiwemo Simba na Yanga ukipelekwa makaburini kwa mazishi mjini Bujumbura, Burundi leo 
    Waumini wa Kiislamu na jamaa wakiwa mbele ya kaburi tayari kumhifadhi marehemu Suma katika nyumba yake ya milele  
    Hili ndilo kaburi ambalo amezikwa Ismail Suma aliyekuwa anacheza soka Burundi 
    Hapa mwili wa Ismail Suma ukifanyiwa sala  
    Jeneza la marehemu likipakiwa katika gari kwa safari ya makaburini
    Jamaa wakiwa wamelishikilia jeneza la marehemu Ismail Suma kwenye gari
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAZISHI YA ISMAIL SUMA YALIVYOKUWA NCHINI BURUNDI LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top