Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Ismail Suma (picha ndogo juu kulia), kipa wa zamani wa kimataifa wa Tanzania aliyedakia klabu mbalimbali zikiwemo Simba na Yanga ukipelekwa makaburini kwa mazishi mjini Bujumbura, Burundi leo
Waumini wa Kiislamu na jamaa wakiwa mbele ya kaburi tayari kumhifadhi marehemu Suma katika nyumba yake ya milele
Hili ndilo kaburi ambalo amezikwa Ismail Suma aliyekuwa anacheza soka Burundi
Hapa mwili wa Ismail Suma ukifanyiwa sala
Jeneza la marehemu likipakiwa katika gari kwa safari ya makaburini
Jamaa wakiwa wamelishikilia jeneza la marehemu Ismail Suma kwenye gari
Rasmus Hojlund admits he was 'bothered' by criticism during Man United goal
drought in the Premier League... and claims it was 'great to shut people
up' as he accuses critics of jealousy
-
The Dane went 14 games without a Premier League goal after joining from
Atalanta for £72million, despite scoring five goals in the Champions League
group s...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment