• HABARI MPYA

    Sunday, January 28, 2018

    SALVATORY EDWARD NA RAIS WEAH WA LIBERIA ENZI HIZO MCHEZAJI WA LONE STARS

    Kiungo wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’, Salvatory Edward (kushoto) akiwa na Nahodha na mshambuliaji wa timu ya taifa ya Liberia, Lone Stars, George Weah kabla ta mchezo wa kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika baina ya timu hizo Julai 28 mwaka 1997 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam. Leo ikiwa ni miaka 20 baadaye, Weah ni rais wa Liberia.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SALVATORY EDWARD NA RAIS WEAH WA LIBERIA ENZI HIZO MCHEZAJI WA LONE STARS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top