• HABARI MPYA

    Wednesday, January 31, 2018

    MICHY BATSHUAYI AKABIDHIWA RASMI MIKOBA YA AUBAMEYANG

    Mshambuliaji Michy Batshuayi akiwa ameshika jezi ya Borussia Dortmund baada ya kukamilisha uhamisho wa mkopo kutoka Chelsea kuziba pengo la Pierre-Emerick Aubameyang aliyehamia Arsenal kwa dau la Pauni Milioni 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MICHY BATSHUAYI AKABIDHIWA RASMI MIKOBA YA AUBAMEYANG Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top