Wachezaji wa Arsenal, Olivier Giroud na Aaron Ramsey wakiwa wanyonge baada ya kufungwa bao la tatu na Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana wakilala 3-1 mbele ya wenyeji wao hao Uwanja Liberty, Wales. Arsenal walitangulia kwa bao la Nacho Monreal dakika ya 33, kabla ya Sam Clucas kuisawazishia Swansea dakika moja tu baadaye na kufunga la tatu dakika ya 86 kufuatia Jordan Ayew kufunga la pili dakika ya 61. Henrikh Mkhitaryan aliyesajiliwa kwa kubadilishwa na Alexis Samchez aliyekwenda Manchester United alicheza mechi yake ya kwanza Arsenal jana akiingia kuchukua nafasi ya Mohamed Elneny dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
10-try Saints atone for cup loss by thrashing Hull
-
St Helens make up for their Challenge Cup quarter-final exit as they run
away with a Super League win against Hull FC.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment