Kiungo Lassana Diarra akiwa ameshika jezi ya Paris Saint-Germain kufuatia kusaini mkataba wa miezi 18 kama mchezaji huru, baada ya kutokuwa na timu kwa muda tangu aondoke Al Jazira. Diarra amewahi kucheza Chelsea, Arsenal na Portsmouth za Ligi Kuu ya England baada ya kuondoka Real Madrid na PSG inakuwa klabu yake ya 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment