• HABARI MPYA

    Wednesday, January 24, 2018

    LASSANA DIARRA AIBUKA TENA, ASAINI MIEZI 18 PSG

    Kiungo Lassana Diarra akiwa ameshika jezi ya Paris Saint-Germain kufuatia kusaini mkataba wa miezi 18 kama mchezaji huru, baada ya kutokuwa na timu kwa muda tangu aondoke Al Jazira. Diarra amewahi kucheza Chelsea, Arsenal na Portsmouth za Ligi Kuu ya England baada ya kuondoka Real Madrid na PSG inakuwa klabu yake ya 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LASSANA DIARRA AIBUKA TENA, ASAINI MIEZI 18 PSG Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top