Kocha wa zamani wa Yanga, Mbelgiji Tom Saintfiet (kushoto) akiwa mjini Lausanne, Uswisi wakati wa upangaji wa droo ya michuano mipya ya Shirikisho la Soka la Ulaya (UEFA), iitwayo Ligi ya Mataifa ya UEFA jana ambako alikwenda kuiwakilisha timu yake ya sasa, Malta iliyopangwa na Faroe Islands, Azerbaijan na Kosovo kwenye michuano hiyo inayotarajiwa kuanza Septemba mwaka huu.
Tom Saintfiet akifuatilia kwa makini droo ya michuano mipya mjini Lausanne, Uswisi jana
Soccer Aid 2024: Alex Scott returns as host while Bobby Brazier and Tommy
Fury lead the stars lacing up their boots and taking to the pitch for
annual charity match
-
Soccer Aid for UNICEF 2024 has announced it's celebrity players ahead of
the annual charity match on Sunday 9th June at Stamford Bridge.
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment