Kocha wa zamani wa Yanga, Mbelgiji Tom Saintfiet (kushoto) akiwa mjini Lausanne, Uswisi wakati wa upangaji wa droo ya michuano mipya ya Shirikisho la Soka la Ulaya (UEFA), iitwayo Ligi ya Mataifa ya UEFA jana ambako alikwenda kuiwakilisha timu yake ya sasa, Malta iliyopangwa na Faroe Islands, Azerbaijan na Kosovo kwenye michuano hiyo inayotarajiwa kuanza Septemba mwaka huu.
Tom Saintfiet akifuatilia kwa makini droo ya michuano mipya mjini Lausanne, Uswisi jana
Dave Portnoy reveals HUGE $150,000 bet on the Stanley Cup winner... which
would give Barstool boss $1MILLION profit as he aims to continue hot streak
-
Portnoy has the Edmonton Oilers winning the Cup at +700 odds on DraftKings
SportsBook. A win for the Oilers will extend Portnoy's hot streak in sports
bett...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment