Alexis Sanchez akipanda ndege na wachezaji wenzake wa Manchester United kwenda mjini Yeovil, Somerset kwa ajili ya mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo dhidi ya wenyeji, Yeovil Town Uwanja wa Huish Park. Huo utakuwa mchezo wa kwanza baada ya Sanchez kusajiliwa kutoka Arsenal kwa mshahara wa Pauni 600,000 mapema wiki hii PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Fernandes gets emotional after a reporter praises his dedication to
Man United... as his tireless performance against Liverpool leads the Red
Devils to a triumphant 4-3 win in the FA Cup
-
Fernandes got visibly emotional when praised by a reporter for his
dedication to Man United after their dramatic 4-3 FA Cup quarter-final win
over Liverpool .
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment