• HABARI MPYA

    Friday, January 26, 2018

    MANCHESTER UNITED WAFANYA MAZOEZI KWENYE MAEGESHO YA MAGARI

    Wachezaji wa Manchester United wakifanya mazoezi kwenye eneo la maegesho ya magari la hoteli ya The Hollies iliyo umbali wa maili nane kutoka Uwanja wa Huish Park ambako Saa 5:55 usiku wa leo watamenyana na wenyeji, Yeovil Town katika mchezo wa Raundi ya Nne ya Kombe la FA England PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MANCHESTER UNITED WAFANYA MAZOEZI KWENYE MAEGESHO YA MAGARI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top