Granit Xhaka (kulia) akishangilia na Alexandre Lacazette (kushoto) baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 60 ikishinda 2-1 dhidi ya Chelsea Uwanja wa Stamford Bridge, London. Chelsea ilitangulia kwa bao la Eden Hazard dakika ya saba, kabla ya Arsenal kusawazisha kwa bao la kujifunga lao Antonio Rudiger dakika ya 12, kufuatia kubabatizwa na mpira uliopigwa na Nacho Monreal. Baada ya sare ya 0-0 kwenye mchezo wa kwanza Stamford Bridge, Arsenal sasa inakwenda Fainali ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup ambako itakutana na Manchester City iliyoitoa Bristol City juzi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Justin Fields blocked trades from FOUR other NFL teams before Bears dealt
him to Steelers... as former Chicago starter only wanted to move to
Pittsburgh
-
Before being traded to the Pittsburgh Steelers from the Chicago Bears on
Saturday, Justin Fields denied deals to four other NFL teams as he had his
mind ma...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment