SIMBA SC NA MAJI MAJI KATIKA PICHA JANA UWANJA WA TAIFA
Mshambuliaji Mganda wa Simba, Emmanuel Okwi akiwarukia wachezaji wa Maji Maji kuwahi mpira katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 4-0
Nahodha na mshambuliaji wa Simba, John Bocco akimiliki mpira mbele ya beki wa Maji Maji jana
John Bocco akiifungia Simba bao la kwanza kwa kichwa jana
Beki wa Maji Maji, Kennedy Kipepe akimrukia mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi mguu wa shingo
Winga machachari wa Simba, Shiza Kichuya akiwakimbia wachezaji wa Maji Maji
Beki wa Simba, Mghana Asante Kwasi (kulia) akipiga chenga ili kumpita beki wa Maji Maji Lucas Kikoti jana
Beki wa Simba Shomary Kapombe akipanda na mpira katika mchezo wa jana
Kocha mpya wa Simba, Mfaransa Pierre Lechantre (kushoto) na wasaidizi wake, kocha wa mazoezi ya utimamu wa mwili, Mtunisia Mohamed Aymen Hbibi (katikati) aliyekuja naye na Mrundi, Masoud Juma (kulia) aliyemkuta
Kikosi cha Maji Maji kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Kikosi cha Simba SC kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Australia withdraw from Afghanistan T20 series
-
Australia withdraw from their men's T20 series against Afghanistan in
August because of continued restrictions on women and girls under the
ruling Taliban ...
Morocco calls up Brahim Diaz after making decision
-
Real Madrid playmaker Brahim Diaz has made his decision to play for
Morocco, amid criticism for the Spanish Football Federation (RFEF). The
24-year-old, ...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment