• HABARI MPYA

    Monday, January 29, 2018

    SIMBA SC NA MAJI MAJI KATIKA PICHA JANA UWANJA WA TAIFA

    Mshambuliaji Mganda wa Simba, Emmanuel Okwi akiwarukia wachezaji wa Maji Maji kuwahi mpira katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 4-0 
    Nahodha na mshambuliaji wa Simba, John Bocco akimiliki mpira mbele ya beki wa Maji Maji jana
    John Bocco akiifungia Simba bao la kwanza kwa kichwa jana 
    Beki wa Maji Maji, Kennedy Kipepe akimrukia mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi mguu wa shingo 
    Winga machachari wa Simba, Shiza Kichuya akiwakimbia wachezaji wa Maji Maji 
    Beki wa Simba, Mghana Asante Kwasi (kulia) akipiga chenga ili kumpita beki wa Maji Maji Lucas Kikoti jana 
    Beki wa Simba Shomary Kapombe akipanda na mpira katika mchezo wa jana
    Kocha mpya wa Simba, Mfaransa Pierre Lechantre (kushoto) na wasaidizi wake, kocha wa mazoezi ya utimamu wa mwili, Mtunisia Mohamed Aymen Hbibi (katikati) aliyekuja naye na Mrundi, Masoud Juma (kulia) aliyemkuta
    Kikosi cha Maji Maji kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
    Kikosi cha Simba SC kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC NA MAJI MAJI KATIKA PICHA JANA UWANJA WA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top