Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajib (kulia) akiondoka na mpira dhidi ya wachezaji wa Ruvu Shooting katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 1-0
Mshambuliaji chipukizi wa Yanga, Yohanna Oscar Nkomola akiwatoka mabeki wa Ruvu Shooting
Beki wa Yanga, Mwinyi Hajji Mngwali akimpita mshambuliaji wa Ruvu, Abdurahman Mussa aliyelala kujaribu kuokoa
Beki wa Yanga, Hassan Kessy akimpita beki wa Ruvu, Mau Bofu
Kiungo Mkongo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi akimtoka beki wa Ruvu, Rajab Zahir
Winga wa Yanga, Emmanuel Martin akimuacha chini beki wa Ruvu
Kiungo wa Yanga, Raphael Daudi akiwatoka wachezaji wa Ruvu
Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe akimpita Rajab Zahir
Kikosi cha Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu jana
Kikosi cha Ruvu Shooting katika mchezo wa jana
O'Sullivan races through to last 16 at Crucible
-
Seven-time world champion Ronnie O'Sullivan races through the two frames he
needed to thrash Jackson Page and move into the last 16.
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment