Cristiano Ronaldo akitumia simu ya Daktari wa timu yake kuangalia namna alivyoumia shingoni baada ya kupigwa teke na Fabian Schar wa Deportivo La Coruna leo wakati wa mchezo wa La Liga Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid, timu yake, Real Madrid ikishinda 7-1 huku yeye akifunga mabao mawili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL world reacts to Bears picking Keyshaun Elliott in 2026 NFL Draft
-
The Chicago Bears selected linebacker Keyshaun Elliott in the 2026 NFL
Draft. Here's how fans are reacting.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment