Cristiano Ronaldo (kulia) na Gareth Bale wakipongezana baada ya kila mmoja kufunga mabao mawili katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Deportivo La Coruna leo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Ronaldo alifunga dakika za 78 na 84, Bale dakika za 42 na 58 wakati mabao mengine ya timu ya kocha Mfaransa, Zinadine Zidane yamefungwa na Nacho mawili pia dakika za 32 na 88 na Luka Modric dakika ya 68 baada ya Adrian kutangulia kuifungia Deportivo dakika ya 23 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Christiansen runs London Marathon in memory of aunt
-
Former England midfielder Izzy Christiansen explains why she will be
running Sunday's London Marathon in memory of her aunt.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment