Alfie Mawson akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Swansea City dakika ya 40 Uwanja wa Liberty huku beki ghali, Virgil Van Dijk (wa tatu kulia) na wachezaji wenzake wa Liverpool, Mohamed Salah (kulia) wakionyesha masikitiko yao. Liverpool ililala 1-0 katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Benfica's Prestianni banned for homophobic conduct in Real Madrid tie
-
Gianluca Prestianni is given a six-game ban by Uefa for homophobic conduct
during Benfica's Champions League knockout play-off matched with Real
Madrid in ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment