Sebastian Rudy (kushoto) akishangilia na Joshua Kimmich (kulia) baada ya kuifungia Ujerumani bao la kwanza dakika ya pili katika ushindi wa 3-1 kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya wenyeji, Ireland ya Kaskazini Uwanja wa Windsor Park mjini Belfast usiku wa jana. Kimmich naye alifunga bao la tatu dakika ya 86, wakati la pili lilifungwa na Sandro Wagner PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why Michael Carrick is backing Kobbie Mainoo to get his Man United career
back on track
-
United are understood to have re-opened talks with Mainoo's representatives
nearly a year after the issue was put on hold under Ruben Amorim.
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment