• HABARI MPYA

    Sunday, October 29, 2017

    WAZIRI WA ZAMANI, NAPE NNAUYE ALIKUWEPO JANA SHAMBA LA BIBI

    Waziri wa zamani wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye (kushoto) akiwa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam wakifuatilia mechi ya mahasimu wa jadi, Simba na Yanga
    Nape ambaye pia ni kada wa CCM na Mbunge wa jimbo l Mtama aliwashuhudia watani wakitoa sare ya 1-1 jana
    Nape akizungumza na rafiki mbalimbali jana Uwanja wa Uhuru
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WAZIRI WA ZAMANI, NAPE NNAUYE ALIKUWEPO JANA SHAMBA LA BIBI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top