Kipa wa Yanga, Mcameroon Youthe Rostand akiokoa kwa mguu miguuni mwa mshambuliaji wa Simba, Mganda Emmanuel Okwi kwenye mechi ya Ngao ya Jamii Agosti 23, mwaka huu Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 0-0 kabla ya Simba kwenda kushinda kwa penalti 5-4
Okwi alifanikiwa kuwapita mabeki wa Yanga na kubaki na kipa lakini akashindwa kufunga. Jumamosi timu hizo zinakutana tena Uwanja wa Uhuru katika mechi ya Ligi Kuu, Okwi atapata nafasi kama hii tena? Na akiipata atarudia makosa?
Wazi kipa Youthe Rostand alimshukuru Mungu wake kwa kukoswa na Okwi hapa Agosti 23, Uwanja wa Taifa.
Best tries of the 2024 Six Nations
-
Watch the best tries of the Six Nations 2024 tournament.
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment