• HABARI MPYA

    Monday, October 23, 2017

    ARSENE WENGER AKIWAANDAA ARSENAL KWA MCHEZO WA KESHO

    Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger akiwa na mipira mitatu wakati wa mazoezi ya timu yake leo mjini London kujiandaa na mchezo wa raundi ya nne ya Kombe la Carabao dhidi ya Norwich kesho, wakitoa kuifunga 5-2 Everton jana hadi imemfukuza kocha wake, Mholanzi, Ronald Koeman PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENE WENGER AKIWAANDAA ARSENAL KWA MCHEZO WA KESHO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top