• HABARI MPYA

    Saturday, October 28, 2017

    PILIKA ZINAENDELEA NJE YA UWANJA WA UHURU KABLA YA SIMBA NA YANGA

    Mama na mwana, au mtu na mdogo wake mashabiki wa Yanga wakielekea kuingia Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya mahasimu, Simba
    Mashabiki wa Yanga mtu na mpenzi wake tayari kuingia Uwanja wa Uhuru
    Jezi zinaendelea kuuzwa nje ya Uwanja wa Uhuru
    Na watu wanazidi kumiminika wakiteremshwa na mabasi
    Hali ilivyo nje ya Uwanja wa Uhuru
    Mashabiki wengine bado wapo Baa wanapata vinywaji
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PILIKA ZINAENDELEA NJE YA UWANJA WA UHURU KABLA YA SIMBA NA YANGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top