• HABARI MPYA

    Thursday, October 26, 2017

    BAILLY AREJEA MAZOEZINI MAN UNITED BAADA YA KUPONA

    Kiungo Eric Bailly aliyekuwa majeruhi akishiriki mazoezi na wachezaji wenzake wa Manchester United, Juan Mata na Nemanja Matic leo viwanja vya Carrington baada ya kupona wakijiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu ya England Jumamosi Uwanja wa Old Trafford, Manchester PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BAILLY AREJEA MAZOEZINI MAN UNITED BAADA YA KUPONA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top