Kipa Claudio Bravo akifurahia kishujaa baada ya kuokoa penalti za Alfred N'Diaye na Conor Coady kuiwezesha Manchester City kushinda kwa penalti 4-1 usiku wa jana Uwanja wa Etihad baada ya sare ya 0-0 na Wolves katika mchezo wa Raundi ya Nne ya Kombe la Carabao Cup, hivyo kwenda Robo Fainali. Penalti za City zilifungwa na Kevin De Bruyne, Yaya Toure na Leroy Sane, wakati ya Wolves ilifungwa na Leo Bonatini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Justin Fields blocked trades from FOUR other NFL teams before Bears dealt
him to Steelers... as former Chicago starter only wanted to move to
Pittsburgh
-
Before being traded to the Pittsburgh Steelers from the Chicago Bears on
Saturday, Justin Fields denied deals to four other NFL teams as he had his
mind ma...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment