• HABARI MPYA

    Saturday, October 28, 2017

    MARTIAL AING'ARISHA MAN UNITED OLD TRAFFORD, YAIPIGA 1-0 SPURS

    Anthony Martial akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Manchester United dakika ya 81 ikiilaza 1-0 Tottenham Hotspur katika mchezo wa Ligi Kuu ya England uliofanyika Uwanja wa Old Trafford jioni ya leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MARTIAL AING'ARISHA MAN UNITED OLD TRAFFORD, YAIPIGA 1-0 SPURS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top