• HABARI MPYA

    Wednesday, October 25, 2017

    KINDA NKETIAH AIBEBA ARSENAL KOMBE LIGI ENGLAND

    Chipukizi wa umri wa miaka 18 Edward Nketiah akishangilia baada ya kuifungia mabao yote Arsenal dakika za 85 na 96 kufuatia kuingia akitokea benchi dakika ya 85 kuchukua nafasi ya Reiss Nelson na kuwawezsha Washika Bunduki kushinda 2-1 dhidi ya Norwich City ndani ya dakika 120 usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London na kutinga Robo Fainali ya Kombe la Carabao. Bao la Norwich lilifungwa na Josh Murphy dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KINDA NKETIAH AIBEBA ARSENAL KOMBE LIGI ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top