Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 36 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Athletic Bilbao usiku wa Jumamosi Uwanja wa San Mamés Barria mjini Bilbao, ambalo linakuwa bao lake la 12 katika mechi 10 za La Liga msimu huu. Bao la pili la Barca lilifungwa na Paulinho dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Djokovic cruises into Australian Open third round
-
Novak Djokovic will need to conserve energy if he is to make history at the
Australian Open - and he has not dropped a set in the first two rounds.
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment