Shabiki wa kike wa Yanga (kulia), akiwa mwenye huzuni sawa na mashabiki wengine vijana wadogo wa timu hiyo (kushoto) wakati timu yao ipo nyuma kwa 1-0, bao la Shiza Kichuya jioni ya leo Uwanja wa Uhuru, Darves Salaam kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
Shiza Kichuya (kushoto) akipongezwa na kiungo Mghana, James Kotei baada ya kuifungia Simba dakika ya 57
Shiza Kichuya akishangilia bao lake
Lakini furaha za wana Simba zilizimwa na Obrey Chirwa (kulia) aliyeisawazishia Yanga dakika ya 60 kwa pasi ya Ibrahim Ajib (kushoto)
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment