Chipukizi aliyepandishwa kutoka timu B, Jose Arnaiz akishangilia kwa staili yake baada ya kuifungia bao zuri la tatu Barcelona dakika ya 56 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Murcia kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme Uwanja wa Nueva Condomina, Murcia. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Paco Alcecer dakika ya 44 na Deulofeu dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bloodbath in New York as John Harbaugh begins Giants clear-out days after
taking over as head coach
-
He joined the Giants back in 1999 and was a key part of the front office
when the team won two Super Bowls.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment