• HABARI MPYA

    Saturday, October 28, 2017

    MAN CITY YACHOMOZA NA USHINDI WA 3-2 UGENINI

    Mchezaji Bora wa Mechi, Leroy Sane akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 10 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya wenyeji, West Brom kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa The Hawthorns. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Fernandinho dakika ya 14 na Raheem Sterling dakika ya 64, wakati ya West Brom yamefungwa na Jay Rodriguez dakika ya 13 na Matt Phillips dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YACHOMOZA NA USHINDI WA 3-2 UGENINI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top