• HABARI MPYA

    Saturday, October 28, 2017

    ENGLAND WATWAA KOMBE LA DUNIA LA U-17 INDIA

    Wachezaji wa England wakishangilia ubingwa wa Kombe la Dunia la Vijana chini ya umri wa miaka 17 baada ya ushindi wa 5-2 dhidi ya Hispania leo mjini  Kolkata, India. Mabao ya England yalifungwa na Rhian Brewster, Morgan Gibbs White, Phil Foden mawili na Marc Guehi, wakati ya Hispania yalifungwa na Sergio Gomez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ENGLAND WATWAA KOMBE LA DUNIA LA U-17 INDIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top