Aaron Ramsey akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 58 wakishinda 2-1 leo dhidi ya Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates. Swansea walitangulia kwa bao la Sam Clucas dakika ya 22, kabla ya Sead Kolasinac kuisawazishia Arsenal dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment