Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi (kushoto) akizungumza na refa Heri Sasii wakati wa mapumziko kwenye mchezo wa jana wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, timu hizo zikitoka sare ya 1-1
Heri Sasii alionekana kuyapuuza anayoambiwa na Okwi na kumuambia aondoke
Refa Heri Sasii anaaonekana anakumsukuma Okwi ili aondoke
Lakini Okwi aligeuka kuendelea kulalamika huku anaondoka kinyumenyume. Nini alikuwa analalamika Okwi?
Son of one of footy's greatest players is accused of white-anting Tigers
coach Benji Marshall as club boss explodes: 'It's just bulls**it on every
level'
-
Tigers boss Shane Richardson has slammed rumours about Marshall as
'bulls**t' after former recruitment manager Scott Fulton allegedly fed
criticisms about ...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment