• HABARI MPYA

    Sunday, October 29, 2017

    NINI OKWI ALIKUWA ANALALAMIKA KWA REFA HAPA JANA?

    Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi (kushoto) akizungumza na refa Heri Sasii wakati wa mapumziko kwenye mchezo wa jana wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, timu hizo zikitoka sare ya 1-1
    Heri Sasii alionekana kuyapuuza anayoambiwa na Okwi na kumuambia aondoke
    Refa Heri Sasii anaaonekana anakumsukuma Okwi ili aondoke
    Lakini Okwi aligeuka kuendelea kulalamika huku anaondoka kinyumenyume. Nini alikuwa analalamika Okwi?
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NINI OKWI ALIKUWA ANALALAMIKA KWA REFA HAPA JANA? Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top