Kiungo wa Yanga, Mkongo Papy Kabamba Tshishimbi akipasua katikati ya wachezaji wa Simba, Muzamil Yassin (kulia) na Emmanuel Okwi (kushoto) wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 1-1
Mfungaji wa bao la Yanga jana, Obrey Chirwa (kushoto) akiwatoka wachezaji wa Simba,
Mfungaji wa bao la Simba jana, Shiza Kichuya (kushoto) akimtoka beki wa Yanga, Gardiel Michael
Mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajib (kulia) akimtoka kiungo wa Simba, Muzamil Yassin
Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' (kulia) akiwa ameondosha mpira kwenye himaya ya kiungo wa Yanga, Pius Buswita
Beki wa Simba, Erasto Nyoni akiruka kwa staili ya kung-fu dhidi ya winga wa Yanga, Geoffrey Mwashiuya
Beki wa Yanga, Kevin Yondan, Emmanuel Okwi akimdhibiti mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi
Beki wa Yanga, Juma Abdul (kushoto) akiokoa dhidi ya kiungo wa Simba, Haruna Niyonzima
Kikosi cha Yanga katika mchezo jana
Kikosi cha Simba katika mchezo wa jana
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
59 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment