Kiungo wa Yanga, Mkongo Papy Kabamba Tshishimbi akipasua katikati ya wachezaji wa Simba, Muzamil Yassin (kulia) na Emmanuel Okwi (kushoto) wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 1-1
Mfungaji wa bao la Yanga jana, Obrey Chirwa (kushoto) akiwatoka wachezaji wa Simba,
Mfungaji wa bao la Simba jana, Shiza Kichuya (kushoto) akimtoka beki wa Yanga, Gardiel Michael
Mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajib (kulia) akimtoka kiungo wa Simba, Muzamil Yassin
Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' (kulia) akiwa ameondosha mpira kwenye himaya ya kiungo wa Yanga, Pius Buswita
Beki wa Simba, Erasto Nyoni akiruka kwa staili ya kung-fu dhidi ya winga wa Yanga, Geoffrey Mwashiuya
Beki wa Yanga, Kevin Yondan, Emmanuel Okwi akimdhibiti mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi
Beki wa Yanga, Juma Abdul (kushoto) akiokoa dhidi ya kiungo wa Simba, Haruna Niyonzima
Kikosi cha Yanga katika mchezo jana
Kikosi cha Simba katika mchezo wa jana
The FUFA Drum Final 2023: Tickets out, Fans to purchase using MTN MoMoPay
-
MTN Uganda—a sponsor of the FUFA Drum have confirmed that the match tickets
for the FUFA Drum Final between Busoga and Lango on Saturday 23rd March
2024 ...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment