• HABARI MPYA

    Thursday, October 26, 2017

    SAMATTA ALIVYOPIGANA JANA HADI KUFUNGA BAO LA KWANZA BAADA YA MIEZI MIWILI

    Mshambuliaji Mtanzania wa KRC Genk, Mbwana Samatta akipasua katikati ya mabeki wa Club Brugge katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza A Ubelgiji uliofanyika Uwanja wa Luminus Arena mjini Genk. KRC Genk ilishinda 2-0, Samatta akifunga la pili, hilo likiwa bao lake la kwanza baada ya miezi miwili katika timu hiyo 
    Beki wa Club Brugge akitelezea mpira miguuni mwa Mbwana Samatta
    Mbwana Samatta akimtoka beki wa Club Brugge
    Mbwana Samatta akigombea mpira na beki wa Club Brugge 
    Mbwana Samatta akimiliki mpira mbele ya beki wa Club Brugge
    Mbwana Samatta akitafuta mbinu za kuwageuza na mabeki wa Club Brugge
    Mbwana Samatta akimpiga kichwa mpira wa juu dhidi ya beki wa Club Brugge
    Beki wa Club Brugge akimdhibiti Mbwana Samatta 
    Mbwana Samatta akipiga mpira kichwa mbele ya beki wa Club Brugge
    Mbwana Samatta akiondoka na mpira dhidi ya beki wa Club Brugge
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SAMATTA ALIVYOPIGANA JANA HADI KUFUNGA BAO LA KWANZA BAADA YA MIEZI MIWILI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top