Anthony Joshua akimuangalia mpinzani wake, Carlos Takam anavyopepesuka kwa kipigo alichompa katika pambano la uzito wa juu usiku huu Uwanja wa Principality mjini Cardiff, Uingereza. Joshua ameshinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya 10 na kutetea taji lake la IBF baada ya refa kusimamisha pambano kumuokoa Takam aliyekuwa anatokwa damu nyingi usoni kufuatia kuchanika juu ya jicho mwanzoni mwa pambano. Ikumbukwe Takam alipewa nafasi ya kupigana katika pambano hili siku 12 kabla, kufuatia Kubrat Pulev kujitoa baada ya kuumia mazoezini na Joshua alikutwa ana uzito mkubwa zaidi ya mpinzani wake walipopimwa juzi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bloodbath in New York as John Harbaugh begins Giants clear-out days after
taking over as head coach
-
He joined the Giants back in 1999 and was a key part of the front office
when the team won two Super Bowls.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment