• HABARI MPYA

    Friday, October 06, 2017

    KANE AING'ARISHA ENGLAND KUFUZU KOMBE LA DUNIA

    Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia England bao pekee la ushindi dakika ya 90 ikiilaza 1-0 Slovenia katika mchezo wa Kundi F kufuzu Kombe la Dunia usiku wa jana Uwanja wa Wembley mjini London. Kane aliwaongoza Simba Watatu kwa mara ya kwanza kama Nahodha jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KANE AING'ARISHA ENGLAND KUFUZU KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top