Nyota wa Arsenal, Alexis Sanchez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Chile dakika ya 85 ikiilaza 2-1 Ecuador katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika ya Kusini uliofanyika Uwanja wa Monumental David Arellano mjini Santiago, Chile. Bao la kwanza la Chile lilifungwa na Eduardo Vargas dakika ya 22, wakati la wageni lilifungwa na Romario Andres Ibarra dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Harry Maguire explains his reaction after nervy FA Cup win over Coventry,
amid Antony ear-cupping celebration... as he insists the Red Devils stars
'let themselves down' with late collapse
-
United edged past their Championship opponents at Wembley on Sunday, but
their victory wasn't without drama after they squandered a three-goal lead
before ...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment