• HABARI MPYA

    Wednesday, August 09, 2017

    REAL WAIPIGA MAN UNITED 2-1 NA KUBEBA SUPER CUP YA UEFA

    Marcelo akibusu taji la Super Cup la UEFA baada ya Real Madrid kuifunga Manchester United 2-1 Uwanja wa Nacionalna Arena Filip II, Makedonski mjini Skopje, Macedonia. Mabao ya Real Madrid yamefungwa na Casemiro dakika ya 24 na Isco dakika ya 52, wakati la Man United limefungwa na Romelu Lukaku dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: REAL WAIPIGA MAN UNITED 2-1 NA KUBEBA SUPER CUP YA UEFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top