Kipa bora Afrika, Denis Onyango wa klabu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini (kulia) akiwa na kipa bora wa Kombe la COSAFA, Said Mohamed Nduda wa Simba ya Tanzania leo mjini Johannesburg,. Nduda yupo na Simba Afrika Kusini kwa kambi ya maandalizi ya msimu mpya
Nduda (kulia) akiwa na wachezaji wenzake wa Simba wakizirura mitaa ya Jiji la Johannesbur
O.J. Simpson Won't Have Public Memorial After Cremation, per Attorney
-
O.J. Simpson won't have a public memorial after his death on April 10 at
the age of 76 from prostate cancer, his attorney said. Malcolm LaVergne,
who is in…
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment