Mshambuliaji mpya, Mohamed Salam aliyesajiliwa kwa Pauni Milioni 39 kutoka Roma akiifungia Liverpool bao lililoelekea kuwa la ushindi dakika ya 57 Uwanja wa Vicarage Road timu hiyo ikitoka sare ya 3-3 na wenyeji, Watford katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Sadio Mane dakika ya 29 na Roberto Firmino kwa penalti dakika ya 55, wakati ya Watford yamefungwa na Stefano Okaka dakika ya nane, Abdoulaye Doucoure dakika ya 32 na Miguel Britos dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marcus Rashford cannot be painted as an innocent victim when he is looking
like the brash £315k-a-week footballer we hoped he wasn't... now selling
him IS an option of Man United
-
CHRIS WHEELER: It's a bitter irony that a week in which United celebrated
their 250th homegrown player making his debut is ending with the poster boy
for t...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment