• HABARI MPYA

    Thursday, August 03, 2017

    ATLETICO WAILIZA KWA MATUTA LIVERPOOL NA KUBEBA KOMBE LA AUDI

    Picha kubwa wachezaji wa Atletico Madrid wakifurahia na Kombe la Audi baada ya kuifunga Liverpool (picha ndogo juu kushoto) kwa penalti 5-4 kufuatia sare ya 1-1 ndani ya dakika 90 usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich, Ujerumani. Keidi Bare alianza kuwafungia wenyeji dakika ya 33, kabla ya Roberto Firmino kuwasawazishia wageni dakika ya 83 na katika mikwaju ya penalti waliofunga na Atletico ni Griezmann, Torres, Gabi, Gaitan na Luis wakati za Liverpool zilifungwa na Firmino, Origi, Kent na Grujic huku Henderson akikosa PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ATLETICO WAILIZA KWA MATUTA LIVERPOOL NA KUBEBA KOMBE LA AUDI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top