Kiungo Juan Mata akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 81 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya wenyeji, Sampdoria usiku wa jana Uwanja wa Aviva mjini Dublin. Henrikh Mkhitaryan alianza kuifungia United dakika ya tisa, kabla ya Dennis Praet kuisawazishia Sampdoria dakika ya 63 katika mchezo huo ambao, kiungo mpya, Nemanja Matic aliyesajiliwa juzi kutoka Chelsea kwa Pauni Milioni 40 alicheza kwa mara ya kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Haatem set to join stable star Rosallion in the 2000 Guineas next month
after dominant victory in the Craven Stakes at Newmarket
-
Richard Hannon unleashed the devastating winner of the most important 2000
Guineas trial on Thursday - but it was a horse at home who had him purring.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment