Adrien Silva akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la ushindi dakika ya 104 kwa penalti, ikiilaza 2-1 Mexico katika mchezo wa kuwania nafasi ya tatu Kombe la FIFA la Mabara leo Uwanja wa Otkrytiye Arena, mjini Moskva. Luis Neto alianza kujifunga kuipatia Mexico bao la kuongoza dakika ya 54, kabla ya Pepe kuisawazishia Ureno dakika ya 90 na ushei na mchezo ukahamia kwenye dakika za nyongeza, ambako Silva akamaliza kazi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Red Bull mastermind is 'set to leave' after Christian Horner sexting
scandal engulfed the team - and 'could join Lewis Hamilton at Ferrari next
season'
-
A Red Bull supremo is reportedly set to leave the team and will announce
his decision soon. He has has informed Red Bull that he wants to move on.
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment