• HABARI MPYA

    Saturday, July 22, 2017

    CRYSTAL PALACE WAINYUKA WEST BROM 2-0 HONG KONG

    Bakary Sako akishangilia baada ya kuifungia Crystal Palace bao la pili dakika ya 43 ikiilaza 2-0 West Brom katika mchezo wa kuwania nafasi ya tatu Kombe la Ligi Kuu Asia leo Uwanja wa Hong Kong mjini Hong Kong, China. Bao la kwanza la Palace limefungwa naLuka Milivojevic dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CRYSTAL PALACE WAINYUKA WEST BROM 2-0 HONG KONG Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top