Mshambuliaji Amissi Tambwe (katikati) akipiga mpira kwenye mazozi ya Yanga jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho dhidi ya MC Alger ya Algeria Jumamosi
Amissi Tambwe kushoto anatarajiwa kurejea uwanjani Jumamosi baada ya kuwa nje kwa muda mrefu
Kocha Mzambia wa Yanga, George Lwandamina akiwaongoza wachezaji wake kwa vitendo
Kocha Lwandamina akizungumza na Daktari, Edward Bavu (kushoto) na kiungo Thabani Kamusoko (kulia)
Kocha Lwandamina akiwaonyesha kwa vitendo wachezaji wake
Amissi Tambwe kushoto anatarajiwa kurejea uwanjani Jumamosi baada ya kuwa nje kwa muda mrefu
0 comments:
Post a Comment