Luis Suarez akifurahia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 50 na 87 katika ushindi wa 3-0 usiku wa jana Uwanja wa RCDE mjini Cornella de Llobregat kwenye mchezo wa La Liga dhidi ya wenyeji, Espanyol. Bao lingine la Barcelona katika mchezo huo wa mahasimu wa Katalunya lilifungwa na Ivan Rakitic dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment