• HABARI MPYA

    Sunday, April 30, 2017

    SIMBA NA AZAM KATIKA PICHA JANA TAIFA

    Winga wa Simba, Shizza Kichuya (kushoto) akiwatoka wachezaji wa Azam FC, Ramadhani Singano 'Messi' na Gardiel Michael katika Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayojulikana kama Azam Sports Federtion Cup jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 1-0
    Kiungo wa Simba, Muzamil Yassin akimtoka kiungo wa Azam, Himid Mao
    Mshambuliaji wa Simba, Laudit Mavugo akimtoka beki wa Azam, Gardiel Michael
    Kiungo wa Simba, Mohammed Ibrahim akimuacha kwenye dimbwi la maji beki wa Azam, Shomary Kapombe
    Wachezaji wa Simba na Azam wakiingia uwanjani jana
    Benchi la Ufundi la Simba kutoka kushoto Kocha Mkuu, Mcameroon Joseph Omog, Kocha Msaidizi, Mganda Jackson Mayanja, Kocha wa makipa Mkenya, Idd Salim na Meneja, Mussa Hassan Mgosi
    Benchi la Ufundi la Azam kutoka kulia Kocha Mkuu Mromania, Aristica Cioaba, Msaidizi wake, Iddi Cheche, Meneja Philipo Alando na Kocha wa makipa, Iddi Abubakar 
    Kamisaa wa mchezo wa jana Nassor Hamdoun wa nne kushoto akiwa na marefa na Manahdha wa timu zote mbili jana  
    Kikosi cha Azam kabla ya mchezo wa jana
    Kikosi cha Simba kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA NA AZAM KATIKA PICHA JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top